Msaada: Nahitaji kufungua blog

Babumzee

Member
Joined
Feb 24, 2020
Posts
11
Reaction score
5
Nahitaji kueleweshwa ni vitu gani hasa natakiwa kuwa navyo ili niweze kumiliki blog yangu na mtu yupi ni sahihi wa kunifungulia hiyo blog?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikubwa uwe na vitendea kazi kama laptop pia inategemeana na blog ipi unafungua kama ni ya za habari au music hizi ni nyepesi kwani utacopy sehemu na kuhariri
 
Inategemea blog ya aina gani?,blog hata wewe mwenyewe unaweza kufungua kuna za bure kama blogspot,pia waweza tumia WordPress hii Ina themes nyingi na nzuri kwa customization ,inatokana na hitaji,,lako na budget yako ,,
1.za free zipo blogspot,WordPress,..
2.wordpress na nyingine cms,utahitaji hosting,domain name,,
3.karibu ukihitaji professional blog kwa bei nzuri au kama una swali lolote kuhusu blog karibu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…