Msaada: Nahitaji kufanya kazi kenya au Rwanda

Msaada: Nahitaji kufanya kazi kenya au Rwanda

Bugasarai

Member
Joined
Oct 8, 2017
Posts
74
Reaction score
240
Habari wakuu, fani yangu ni mwalimu, niko interested kufundisha kenya au Rwanda , ni process zipi nahitaji kupitia kufikia lengo langu? Mwenye msaada tafadhali nijuze wakuu
 
Kwanza hujatueleza unataka kwenda kufundisha nini, elimu yako sababu ya kwenda huko. Nikukumbushe tu kwamba endelea kulitumikia taifa lako.
 
Huku ni rahisi sana maana tunahitaji walimu wa kiswahiri karibu kwetu
 
Huku ni rahisi sana maana tunahitaji walimu wa kiswahili karibu kwetu.
 
Kwanza hujatueleza unataka kwenda kufundisha nini, elimu yako sababu ya kwenda huko. Nikukumbushe tu kwamba endelea kulitumikia taifa lako.
Nimehitimu BAED( UDSM), Masomo ya Geography na political science sababu za kutaka kwenda huko ni ndoto yangu kufanya kazi nje ya nchi ila napnda Ndani ya East Africa zaidi nchi nilizotaja hapo
 
Hongera mzeee nice dream sikukatishi tamaaa but faham changamoto kwanza za nchi unayotaka kwenda kuwa husttle, kwa nchi kama kenya mm nimewahi kuishi huko pia hata elimu ya msingi nimepiga huko miaka minne, japo baaadae nilikuja kusomea tz na elimu ya juu pia lakini baadae niliingia nchini kenya kuwa mpambanaji wa life ,kenya ni mabingwa wa elimu wamesoma mpaka nnje ya bara la afrika na bado changamoto ya ajira kwao mmmh ni msiba
mfano jiji la nairobi linakaliwa kwa wingi na wasomi ila ajabu ndo hao hao watembeza mitumba mabegani pia ndo wauza sweaty kwenye vijisahani na mahidi mchemsho na ndo hao hao wanamiliki migahawa ya kuuza kidheli kama wanavyoita huko kwao ila kwetu tunaita makande

ushauri wangu kwako kama unaweza swahili language kiustandard mmmh kwa nchi ya kenya ni dili
 
Hongera mzeee nice dream sikukatishi tamaaa but faham changamoto kwanza za nchi unayotaka kwenda kuwa husttle, kwa nchi kama kenya mm nimewahi kuishi huko pia hata elimu ya msingi nimepiga huko miaka minne, japo baaadae nilikuja kusomea tz na elimu ya juu pia lakini baadae niliingia nchini kenya kuwa mpambanaji wa life ,kenya ni mabingwa wa elimu wamesoma mpaka nnje ya bara la afrika na bado changamoto ya ajira kwao mmmh ni msiba
mfano jiji la nairobi linakaliwa kwa wingi na wasomi ila ajabu ndo hao hao watembeza mitumba mabegani pia ndo wauza sweaty kwenye vijisahani na mahidi mchemsho na ndo hao hao wanamiliki migahawa ya kuuza kidheli kama wanavyoita huko kwao ila kwetu tunaita makande

ushauri wangu kwako kama unaweza swahili language kiustandard mmmh kwa nchi ya kenya ni dili
Ahsant mkuu kiswahili nawez maana nimkisoma advance, seme nataka kujua procedures a kufanya kazi huko inakuwaje
 
Ahsant mkuu kiswahili nawez maana nimkisoma advance, seme nataka kujua procedures a kufanya kazi huko inakuwaje
jaribu kwenda kutembelea huko kwanza lkn pia inakubidi utafute rafiki ambaye atakupa information kamili na namna ya kuomba kazi , kuhusu kuenda kenya ama uganda andaaa pasport yako tu then ukafanye utafiti
 
Ahsant mkuu kiswahili nawez maana nimkisoma advance, seme nataka kujua procedures a kufanya kazi huko inakuwaje
Unakiweza sababu umekisoma advance au ndo profession yako?

Maana naona kama uko too desperate na kwenda huko!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom