Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Mkuu haujajibu poaJenga yako ukae bure.
Mkuu haujajibu poaJenga yako ukae bure.
Ndiyo na yeye amekosea kusema hivyoSure, mtu anaposema ni porini. Wanakaa wanyama?
Chumba kipo cha 80k kigamboni karibu na kati ya machava na mikadi beach, kina tiles na choo chake ndani nicheki 0736673673Habari zenu ndugu jamaa na marafiki,
Kama kichwa cha habari kilivyo jieleza, nahitaji chumba cha kupanga kiwe kizuri chenye muonekano mzuri nje na ndani. Naweza kulipa 70k mpaka 80k per month so mwenye kufahamu na kujua naomba waje wanisaidie kukipata. Lakini pia hata wale wa kutoa mawazo nawahitaji pia kwani watanisaidia kujua maeneo mazuri na salama pa kukaa.
Asanteni.
Cha giza hicho unapata ila kwa mbinde anzia kimanganatafuta chumba cha elfu 20 tabata na viunga vyake, ila isiwe kinyerezi
ajabu wanaanzia elf 25 malipo miezi 6Cha giza hicho unapata ila kwa mbinde anzia kimanga
Mienzi mingapChumba kipo cha 80k kigamboni karibu na kati ya machava na mikadi beach, kina tiles na choo chake ndani nicheki 0736673673
Miezi sitaMienzi mingap