Msaada, naharusha lakinintumbo haliumi

Msaada, naharusha lakinintumbo haliumi

ATB stoic

Member
Joined
Nov 14, 2023
Posts
76
Reaction score
62
Wakuu wa JF nina tatizo moja naharisha lakini tumbo haliumi ila tu baada ya kula chakula huanza kukoroga mbaka nenda kuarisha baada ya hapo fresh tu ila ni ila tena inajirudia tena nina siku ya pili nimetumia frajir zimedunda
 
Kuna mtu anakuja kukushauri ule matunda kwa wingi na ufanye mazoezi na umrudie Muumba muda si mrefu
 
Back
Top Bottom