Msaada nafasi ya kazi kashwasa

Msaada nafasi ya kazi kashwasa

Jmo

Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
17
Reaction score
2
Jamani hawa jamaa Mamlaka ya maji safi na maji taka Kahama na Shinyanga(KASHWASA) walitangaza nafasi ya kazi ya computer system analyst II, Lakini wako kimya sana!
JAMANI MWENYE UPDATE NAO ATUSAIDIE TULIOOMBA?
 
Jamani hawa jamaa Mamlaka ya maji safi na maji taka Kahama na Shinyanga(KASHWASA) walitangaza nafasi ya kazi ya computer system analyst II, Lakini wako kimya sana!
JAMANI MWENYE UPDATE NAO ATUSAIDIE TULIOOMBA?

Mimi nakumbuka walisema ukiona kimya ujue hujafanikiwa
 
Back
Top Bottom