Pia ujue kama uli apply vibaya kwa kuunganisha NTA level 5 na 6 sehem moja na ukaweka sehem waliyohitaj level 6 tu, huwa wanajumlisha, wenzangu walifanya hivyo but wakashushiw GPA but walivyorekibisha katk 3round wamepata. I mean sehem ya level 6 hakikisha imekaa yenyewe