Teacher Emma
Member
- Jul 15, 2015
- 21
- 9
Nilipokuwa napitia Guide book ya Diploma Holder kuna sehemu palikuwa pananihitaji ku-apload Certificate na Transcript ila wakati nafanya application baada ya kujaza chuo nilichosomea diploma, Jina la program niliyosoma, mwaka niliohitimu na Registration number...moja kwa moja nilipelekwa katika hatua ya kujaza vyuo navyohitaji kuomba. Msaada; Je, si lazima kuapload certificate na transcript au mimi ndiye niliyekosea mahali wakati nafanya application? Msaada tafadhali