WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 58
Wanajamvi nakuja mbele yenu nikiamini hili ni jukwaa lenye msaada na ushauri mkubwa kwa wadau mbalimbali,
Ni hvi, nina chalii wangu umri miaka 15 ambaye yupo std 7 na uwezo wake kwa darasa ni mdogo kupita kiasi ndio maana kwa umri na hilo darasa amekwisharudia mara nyingi sana lakin wapi, sio mtundu na hana tatizo la ulemavu wa akili bali uwezo wake wa kumbukumbu ndo shida, anasoma english medium na ana mwalimu wa tution lakini bado ticha hadi aliamua kuacha kumfundisha kwani aliona no improvement na kunionea huruma kuendelea kulipwa for nothing , mfano mtihani wa muhula uliopita hisabati alipata swali moja kati ya 50 tena la kujumlisha, masomao mengine anajaribu kuotea ya multiple choice lakini ya kujieleza hawezi kabisa hata kuandika sentesi , "INANIUMIZA SANA JOOO"!!! hata shule anayosoma hawajamsajili kufanya mtihani wa std 7 kuwa atafeli hivyo kuirudisha shule nyuma kimatokeo.
Mwezi wa nne mwaka huu nilishauriwa na walimu wake nikampeleka kwa wataalam na walimu wanaofudisha na kutoa ushauri ambao wapo kituo kimoja cha kulea watoto wenye ulemavu wa akili kilichopo mtoni mtongani walimfanyia usaili na walikuta akili ipo ok ila uwezo wa kumbukumbu ndo shida , kiukweli iliniumiza mimi hata yeye mtoto kisaikolojia kwani alifanyiwa usaili na kundi la watoto ambao wote ni walemavu wa akili ( samahani sina nia mbaya kwa hawa watoto ).
Kiukweli huyu chalii hana uwezo wa kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza , nimepata ushauri nimpeleke shule/chuo cha ufundi, sijui shule/chuo kipi kwa mdau anayejua inaweza kuwa msaada kwa huyu chalii kwani kumbakisha nyumbani ndo hatari zaidi , tafadhali mwenye ushauri aidha wa shule/chuo hasa boarding itakayoweza kumsukuma kidogo huyu chalii kwnani bado umri ni mdogo sana kuingia mtaani,
sorry kwa maelezo marefu ya kuchosha kwani huyu chalii ananiumiza kinyama na ndie uzao wangu wa kwanza.
Ni hvi, nina chalii wangu umri miaka 15 ambaye yupo std 7 na uwezo wake kwa darasa ni mdogo kupita kiasi ndio maana kwa umri na hilo darasa amekwisharudia mara nyingi sana lakin wapi, sio mtundu na hana tatizo la ulemavu wa akili bali uwezo wake wa kumbukumbu ndo shida, anasoma english medium na ana mwalimu wa tution lakini bado ticha hadi aliamua kuacha kumfundisha kwani aliona no improvement na kunionea huruma kuendelea kulipwa for nothing , mfano mtihani wa muhula uliopita hisabati alipata swali moja kati ya 50 tena la kujumlisha, masomao mengine anajaribu kuotea ya multiple choice lakini ya kujieleza hawezi kabisa hata kuandika sentesi , "INANIUMIZA SANA JOOO"!!! hata shule anayosoma hawajamsajili kufanya mtihani wa std 7 kuwa atafeli hivyo kuirudisha shule nyuma kimatokeo.
Mwezi wa nne mwaka huu nilishauriwa na walimu wake nikampeleka kwa wataalam na walimu wanaofudisha na kutoa ushauri ambao wapo kituo kimoja cha kulea watoto wenye ulemavu wa akili kilichopo mtoni mtongani walimfanyia usaili na walikuta akili ipo ok ila uwezo wa kumbukumbu ndo shida , kiukweli iliniumiza mimi hata yeye mtoto kisaikolojia kwani alifanyiwa usaili na kundi la watoto ambao wote ni walemavu wa akili ( samahani sina nia mbaya kwa hawa watoto ).
Kiukweli huyu chalii hana uwezo wa kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza , nimepata ushauri nimpeleke shule/chuo cha ufundi, sijui shule/chuo kipi kwa mdau anayejua inaweza kuwa msaada kwa huyu chalii kwani kumbakisha nyumbani ndo hatari zaidi , tafadhali mwenye ushauri aidha wa shule/chuo hasa boarding itakayoweza kumsukuma kidogo huyu chalii kwnani bado umri ni mdogo sana kuingia mtaani,
sorry kwa maelezo marefu ya kuchosha kwani huyu chalii ananiumiza kinyama na ndie uzao wangu wa kwanza.