Kutokana na amri ya rais we2,ya kuwarundisha wahamiaj haramu.
Moyo umekutwa na simanz kwan nimeathirka kwa namna 1, kwan nilikuwa mwanamke wa kitusi na tuna watoto wa 3 na anamimba,
so nilikuwa naomba ushaur ambao unaweza kunusuru ndoa yng ambayo bado naipenda,