Kwanza hizo copy ni lazima zifanane kuanzia maandishi mpaka nukta pia kuwepo na sahihi zenu na majina yenu na mlichoandika kiwe kinaeleweka na mwisho kama walikuwepo mashahidi yawepo majina yao na sahihi zao pia kama wapo hivyo tu na ww uwe na uhakika kweli kama ulimuazima hela!