kaka kuna m2 alichezea kama sio wewe,
hizo ni effect za kuweka mark, kwenye deny security tab,
.
Fanya hv right click kwenye,
kwenye hyo disk D, alafu ingia kwenye properties, short cut, Alt + Enter.
.
then angalia hzo tab za juu ingia kwenye, security,.
Ukiona kama kuna mark, zimewekwa kwenye deny, column,
.
Zi unmark alafu then mark,
Full control then Enter,
usipo viona hv vi2 ni PM, kama vp