Msaada: Mwili wangu unapata joto kali sana

Msaada: Mwili wangu unapata joto kali sana

Yajoh

Member
Joined
Jun 5, 2020
Posts
31
Reaction score
27
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kwa wiki kadhaa nimekuwa na tatizo la mwili kupata joto kali, naweza nikapata joto kwa siku nzima kesho hali ikarudi kama mwanzo halafu ikajirudia tena.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Ni muda gani tatizo limeanza?

Je, hali hiyo ilishawahi kukutokea awali?

nijibu hayo nijue historia ya ugonjwa wko
 
Funga A/C au hamia karibu na wanapochimba makaa ya mawe. Ila inawezekana kazi inatakiwa iwe ya kupandisha Sisi watalii milimani aka porter au tour guide
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kwa wiki kadhaa nimekuwa na tatizo la mwili kupata joto kali, naweza nikapata joto kwa siku nzima kesho hali ikarudi kama mwanzo halafu ikajirudia tena.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nenda kapime homa ini
 
Back
Top Bottom