Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,845
- 14,071
Eid Mubarak!
Mamaangu anasukbuliwa na mkono wake, ameenda hospital kaishiwa kupewa vidonge anameza kweli maumivu yanapungua ila akishamaliza dawa maumivu yanarudi! Last time nilimwambia akafanye X-Ray, akafanya x-ray na pia akaishiwa kupewa dawa tu.
Maumivu yameanza tena hapo ndo nikamwambia anitumia kwanza hizo picha za X-Ray aliyofanya ili nami nitafute kupata ushauri kwa shida hii apa kipi kinatakiwa kufanywa ili maumivu yaondoke?
Ahsanten.
View attachment 2211261
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamaangu anasukbuliwa na mkono wake, ameenda hospital kaishiwa kupewa vidonge anameza kweli maumivu yanapungua ila akishamaliza dawa maumivu yanarudi! Last time nilimwambia akafanye X-Ray, akafanya x-ray na pia akaishiwa kupewa dawa tu.
Maumivu yameanza tena hapo ndo nikamwambia anitumia kwanza hizo picha za X-Ray aliyofanya ili nami nitafute kupata ushauri kwa shida hii apa kipi kinatakiwa kufanywa ili maumivu yaondoke?
Ahsanten.
Sent using Jamii Forums mobile app