habari zenu wanajamii forum
naomba msaada kwaanae kijua chuo cha BESHA HELTH COLLEGE kilichopo tanga je kimesajiliwa ? msaada tafadhali
Ndyo kimesajiliwaIvichuo cha Tandabui kimesajaliwa?
kimesajiliwa na Nacte ndo wame allocate wanafunzi hapo Besha.....acha kupotosha wewe ...kingekuwa hakijasajiliwa Nacte wasingepeleka wanafunz hapo ...mimi sikushaur kwenda hiko chuo kwa sababu zifuatazo: USAJILI:besha kilipewa usajil wa muda ambao uliisha tangu 2013 mwez wa nane na hawakufuatilia usajil wa moja kw moja. UTAWALA:besha hakuna utawala mzuri coz kinaendeshwa na mwanamama mmoja asiyemuelewa ambaye n mke wa mwenye chuo so huyo maza nd anayeharibu hiko chuo na mumewe(mwenye chuo) ni dhaifu sana kw mkewe hivyo anashndw kumwmbia. Actually sikushaur kwenda besha,kwanza kwnn umependekeza besha??kuwa makin kijana usijejutia muda wako na pesa zako.
Hv ukimaliza course ya community health unaweza ukaendelea na course ipi kuna mshikaji ameniuliza nimeona nililete humu
Ndyo chuo ni kizuri sana tuuu hicho sisi tunafuata elimu iliyo bora chuo kipo vizuri wewe besha college of health kipo bomba kilekimesajiliwa na Nacte ndo wame allocate wanafunzi hapo Besha.....acha kupotosha wewe ...kingekuwa hakijasajiliwa Nacte wasingepeleka wanafunz hapo ...
sent from Sodoka web....
Now wameweka mambo sawa kwahyo jiungeni tuuu msife moyo ndo tatizo la wabongo hilo ila chuo ni kizuri sanaNdyo chuo ni kizuri sana tuuu hicho sisi tunafuata elimu iliyo bora chuo kipo vizuri wewe besha college of health kipo bomba kile