Msaada mwalimu wa nursery

okech

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Wana JF natafuta mwalimu wa nursery ambaye anaomuda wakati wa jioni (saa 10 jioni) ili aweze kumfundisha mwanangu (4 year). Ningepende mwalimu ambaye anakaa maeneo ya yombo vituka maana ni maeneo mimi ambayo nakaa. Malipo ni maelewano tutakapo wasaliana.

Asanteni sana.
 
utamataje bila kuweka contact zako.......?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…