Wana JF natafuta mwalimu wa nursery ambaye anaomuda wakati wa jioni (saa 10 jioni) ili aweze kumfundisha mwanangu (4 year). Ningepende mwalimu ambaye anakaa maeneo ya yombo vituka maana ni maeneo mimi ambayo nakaa. Malipo ni maelewano tutakapo wasaliana.
Asanteni sana.