Msaada: Mwalimu anamtaka kimapenzi mwanangu. Je, nichukue hatua gani?

Zuleykha

JF-Expert Member
May 20, 2016
1,163
1,656
Habarin wanajamvi, natumai tupo pamoja.

Kuna jambo linanikwaza na kwa kuwa hii ni sehemu yenye great thinkers nina imani mtanisaidia.

Mimi ni mlezi na ninapokea malalamiko kutoka kwa mwanangu ninayemlea, amekuwa akinilalamikia sana juu ya mwalimu ambaye anauchu na amekuwa akimtaka kimapenzi.

Nimejaribu kumfahamu mwalimu huyo na nikafanikiwa, sasa nimepaniki. Nisaidieni nifanyaje?
 
fanya hv,nenda straight kwa mwalimu mpe live sipendi tabia hii na ukome ntakureport fanya haraka mpaka anakuja kwako ujue si mwanao bali ni mwalimu na hawa wa kiume wanatabia mbaya sana fanya haraka.
Kwa nlivyomfatilia huyo mwalim alishalala na mwanafunz mwengine akawa analala nae nyumban kwake mpaka wakakamatwa na nlivyoelezewa mwanafunz aliyelala nae akapewa suspension na mwalm akasimamishwa ila now amerud kazin na still anaendeleza tabia yake
 
Post number 10 na 11 zote umeandika tank badala ya tano!!

Ndo kusema huwezi kabisa kuandika neno tano!!

Halafu dogo mwenyewe kumbe yupo Advance... Huyo lazima ashaanza kugongwa tuuu... Ukimzibia kwa Ticha, atakazwa na mashikaji anayosoma nayo.
Sasa nmeandika tank ila nlimaanisha tano ..unajua uchungu was kulea kijana ?
Hapo haujanshauri unanzidishia hasira
 
Kwa nlivyomfatilia huyo mwalim alishalala na mwanafunz mwengine akawa analala nae nyumban kwake mpaka wakakamatwa na nlivyoelezewa mwanafunz aliyelala nae akapewa suspension na mwalm akasimamishwa ila now amerud kazin na still anaendeleza tabia yake
Kama ilishatokea kwa mwingne na kwako mala ya pil mwalim uyouyo nenden vyombo vya juu vimshulikie manake ndo kamchezo kake
 
Duh! Inabidi uchakarike haraka ili kumkomesha huyu baradhuli.

Kwa nlivyomfatilia huyo mwalim alishalala na mwanafunz mwengine akawa analala nae nyumban kwake mpaka wakakamatwa na nlivyoelezewa mwanafunz aliyelala nae akapewa suspension na mwalm akasimamishwa ila now amerud kazin na still anaendeleza tabia yake
 
Hawezi kuificha? Hapa unataka kumlinda mwanao dhidi ya huyu baradhuli. Tafuta namna nyingine ambayo unadhani itakuwa rahisi lakini hii ya kumrekodi pia usiiweke pembeni moja kwa moja.
Ntafanya juu chin nmpatie then ntaleta mrejesho japo itabid awe makin sana
 
Kama ilishatokea kwa mwingne na kwako mala ya pil mwalim uyouyo nenden vyombo vya juu vimshulikie manake ndo kamchezo kake
Kabisa yan mwanangu anantishia kua nsipo. fatilia ni bora nimtaftie mtaji aache shule ...sasa no maneno gani hayo na binti ana performance nzur
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom