Yawezekana hasa kwa vyuo vya private, ila kungekuwa na PHYSICS hapo ingekuwa uhakika ila usikate tamaa, si unajua Ndalichangu nae km ana mtoto wa mjomba ake tu na kasoma km wewe basi tamko litatolewa kuwa mnaruhusiwa medical lab bila kinyongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.