masharubu
Senior Member
- May 5, 2010
- 155
- 10
Wadau naomba msaada mtoto wangu wa miaka 4 na niwa kiume hapendi kula chakula chochote zaidi ya chai na mikate ya boflo.Ukimlazimisha kula kwa nguvu anakula kiasi na baadae anajitapisha.
Nilimpeleka kwa Dkr alitibiwa malaria na kupewa dawa za kupenda kula inaitwa PHAMACTIN lakini wapi hataki kabisa kula, amekuwa kama msomali ukimuona
Nilimpeleka kwa Dkr alitibiwa malaria na kupewa dawa za kupenda kula inaitwa PHAMACTIN lakini wapi hataki kabisa kula, amekuwa kama msomali ukimuona