Msaada: mobile software za kuhack facebook account.

nilijaribu sana, nilipewa software moja hivi, lkn inaniambia huduma hii si kwa eneo hili la tz
 
problem comrade unataka uitumie wapi na kwa nani ? nisije nikasababisha ugomvi ninayo hii kitu na inafanya kazi vizuri sana
 
problem comrade unataka uitumie wapi na kwa nani ? nisije nikasababisha ugomvi ninayo hii kitu na inafanya kazi vizuri sana

Toa maujanja usaidie kupunguza maambukizi/kuvunja mtandao wa mapenzi.....tunaibiana sana babuuu
 
Jamani gaweni hayo maujanja mbona mwatubania comrade!
 
Hv zpo kwaajili 4n au una2mia kwny pc??
Cuz what i know z a common software known as KEYLOGGER whch u nid 2 install kwenye devc the person uses and it traps ol sensitive info typed!
 
wote hao wanazingua, hamna kitu kama hicho....... tusichoshane
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…