Kaiche
Senior Member
- Jan 23, 2017
- 141
- 269
Habari JF,
Kwanza namshukuru Mungu kwa kuamka salama na kunipa uwezo huu wa kueleza changamoto iliyopo.
Naenda kwenye mada, Wife wangu ni Mjamzito, ila changamoto iliyopo ni maumivu ya tumbo chini ya kitovu, na maumivu haya yapo kama kuna kitu kinataka kutoka.
Jana niliongozana nae kwenye hosptal ya wilaya, na dokta akamchek Malaria na U.T.I ,,ila hana hata kimoja, Na akamuandikia Pcm na Amoxylin.
Tupo nyumbani na bado hali ni tete, tumbo linavuta sana na hii mimba ni miezi saba sasa.
Msaada wenu tafadhali
Kwanza namshukuru Mungu kwa kuamka salama na kunipa uwezo huu wa kueleza changamoto iliyopo.
Naenda kwenye mada, Wife wangu ni Mjamzito, ila changamoto iliyopo ni maumivu ya tumbo chini ya kitovu, na maumivu haya yapo kama kuna kitu kinataka kutoka.
Jana niliongozana nae kwenye hosptal ya wilaya, na dokta akamchek Malaria na U.T.I ,,ila hana hata kimoja, Na akamuandikia Pcm na Amoxylin.
Tupo nyumbani na bado hali ni tete, tumbo linavuta sana na hii mimba ni miezi saba sasa.
Msaada wenu tafadhali