Msaada mimi Mhandisi natafuta ajira

Msaada mimi Mhandisi natafuta ajira

Eliazery

Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
19
Reaction score
9
Mimi ni Mhandisi Ujenzi ( Civil Engineer) naitwa Alemi.B.Eliazery mwenye uzoefu wa miaka 5 tangu nimalize Bachelor yangu ya Ujenzi katika chuo cha Mbeya University,

Natafuta kazi/ Ajira sector yoyote iliyotayar kuniajiri au kunipa kazi kwani Niko tayar kufanya bila kuchagua mkoa au eneo la kazi,

CV na vyeti ninavyo, hapo nyuma nilikuwa na mkandarasi lakin kazi zimeisha hivi sasa Niko nyumbani,

Naomba connection ya kazi, mficha uchi hazai, kwa sasa naishi Singida mjini.

Mawasiliano yangu ni:

0752979700
0719751261(WhatsApp)
0689593993

Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nakushauri kwa kuwa wewe mhandisi wa ujenzi najua una utaalam wa kuchora ramani na kujenga, tumia taaluma yako kujiajili wakati unasubiri hiyo kazi ajira ni ngumu sana ndugu yangu sasa hivi.
 
Mimi ni Mhandisi Ujenzi ( Civil Engineer) naitwa Alemi.B.Eliazery mwenye uzoefu wa miaka 5 tangu nimalize Bachelor yangu ya Ujenzi katika chuo cha Mbeya University,

Natafuta kazi/ Ajira sector yoyote iliyotayar kuniajiri au kunipa kazi kwani Niko tayar kufanya bila kuchagua mkoa au eneo la kazi,

CV na vyeti ninavyo, hapo nyuma nilikuwa na mkandarasi lakin kazi zimeisha hivi sasa Niko nyumbani,

Naomba connection ya kazi, mficha uchi hazai, kwa sasa naishi Singida mjini.

Mawasiliano yangu ni:

0752979700
0719751261(WhatsApp)
0689593993

Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kutengeneza network haraka utapata ajira, watafute watu wenye taaluma kama yako waliopo makazini tengeneza nao network.
 
Mimi ni Mhandisi Ujenzi ( Civil Engineer) naitwa Alemi.B.Eliazery mwenye uzoefu wa miaka 5 tangu nimalize Bachelor yangu ya Ujenzi katika chuo cha Mbeya University,

Natafuta kazi/ Ajira sector yoyote iliyotayar kuniajiri au kunipa kazi kwani Niko tayar kufanya bila kuchagua mkoa au eneo la kazi,

CV na vyeti ninavyo, hapo nyuma nilikuwa na mkandarasi lakin kazi zimeisha hivi sasa Niko nyumbani,

Naomba connection ya kazi, mficha uchi hazai, kwa sasa naishi Singida mjini.

Mawasiliano yangu ni:

0752979700
0719751261(WhatsApp)
0689593993

Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kampuni inaitwa Pivotech, ofisi zao zipo Dar, Mbezi beach, Makonde, tuma CV yako, address zao zicheki kwenye tovuti yao.
Wacheki pia Northern Engineering, wana ofisi Dar, Arusha, Mwanza,
Hizo mbili ni kampuni za minara ya simu, vilevile zinavitengo vya ujenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom