Sheria ya kuunganishwa mifuko yote inabaki miwili tu imeshatungwa. Nasikia mheshimiwa rais ameshasaini na itaunganishwa mifuko yote inaunganishwa inabaki miwili tu, mmoja kwa wafanyakazi wa serikali, na wa pilikwa wafanyakazi makampuni binafsi. Sheria ya hiyo mifuko miwili inayobaki mafao yake itakuwa sawa. Hakutakuwa na uchaguzi ujiunge na upi.