Msaada: MERCURY Inahitajika

Msaada: MERCURY Inahitajika

NDESSA

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2013
Posts
1,946
Reaction score
1,800
Wakuu kama una Mercury au unajua pahala inaweza kupatikana ni PM.
 
Mkuu ungefafanua ametapeliwa vipi,

mkuu,michongo hiyo mara nyingi huwa ni ya kitapeli,kama kweli unahitaji hiyo kitu nenda kwenye proper channel uelekezwe,sio za kuuziwa kienyeji kama hivyo,mara nyingi huishia kupigwa tu,kawaulize wachimba madini wananunua wapi,hao wanaojifanya wanayo watakupa hadi sample ya ukweli kaka na saa nyingine hadi hiyo sample inaweza kuwa ya magumashi inayoonekana kama ya ukweli vile hata ukitumia vipimo vya kienyeji utaiona kama yenyewe,watakuaminisha kuwa wanayo stock kubwa tu,ukiwapa mzigo(mapene) tu wanakupa famba(fake) tena kwenye kichupa kizuuuri na utaamini, tena kwa bei nzuri,utastuka baadae wakati mshaachana
 
Hakuna deal hapo..mtaishia kukimbiana na kutafutana tu mwishoni..
 
mkuu,michongo hiyo mara nyingi huwa ni ya kitapeli,kama kweli unahitaji hiyo kitu nenda kwenye proper channel uelekezwe,sio za kuuziwa kienyeji kama hivyo,mara nyingi huishia kupigwa tu,kawaulize wachimba madini wananunua wapi,hao wanaojifanya wanayo watakupa hadi sample ya ukweli kaka na saa nyingine hadi hiyo sample inaweza kuwa ya magumashi inayoonekana kama ya ukweli vile hata ukitumia vipimo vya kienyeji utaiona kama yenyewe,watakuaminisha kuwa wanayo stock kubwa tu,ukiwapa mzigo(mapene) tu wanakupa famba(fake) tena kwenye kichupa kizuuuri na utaamini, tena kwa bei nzuri,utastuka baadae wakati mshaachana

Mercury mbona zipo Mkuu watu wanauza bei kawaida tu, ispokuwa kama unavyosema kuna matapeli wanajifanya wanatafta mercury za namna gani sjui. Huyu mdau nadhani anahtaj kwenda kukamatia gold, aende sehem za machimbo madogomadogo, pia nadhani jamaa wanaouza vifaa vya maabara watakuwa nazo.
 
Asante kwa angalizo,bado naihitaji sijapata.
 
unataka kwenda kutolea mimba,kutengenezea mkorogo au kusafishia thahabu? nenda wanakouza chemicals za maabara wanazo,jaribu pale magoneni mapulipa karibu na kanisa la kkt mviringo
 
unataka kwenda kutolea mimba,kutengenezea mkorogo au kusafishia thahabu? nenda wanakouza chemicals za maabara wanazo,jaribu pale magoneni mapulipa karibu na kanisa la kkt mviringo

Mkuu pale nimeenda sijapata,hata baadhi ya maduka ya ya Lab Equip niliyopta sijapata.
 
Kuwa makini kuna watu wezi sana kabla haujanunua hyo mercury hakikisha mnaipima kwa wataalamu kabisa wanaoaminika sio wa uchochoroni maana wanaweza kuwa wa kwao.
 
Mercury is a chemical
element with the symbol
Hg and atomic number 80.
It is commonly known as
quicksilver and was
formerly named
hydrargyrum (from Greek
" hydr- " water and
" argyros" silver ). A heavy,
silvery d-block element,
mercury is the only metal
that is liquid at standard
conditions for temperature
and pressure ; the only
other element that is liquid
under these conditions is
bromine, though metals
such as caesium, gallium,
and rubidium melt just
above room temperature.
With a freezing point of
−38.83 °C and boiling point
of 356.73 °C, mercury has
one of the narrowest
ranges of its liquid state of
any metal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom