Nenda kasome dogo hiyo ni course mpya sababu baadhi ya vyuo hawana inaitwa mechatronics eng inadil na both mechanical and electronics engineers kuna dogo langu lipo mbeya huu mwaka wa pili linapiga hiyo kozi uwe serious 2 yan ni professional nzuri 2 utadil na ufund wa mitambo na umeme kwa wakat mmoja.over