Jerusalem 7
New Member
- Sep 18, 2015
- 1
- 0
Nina GPA ya 3.0 chem b+,bios b,physics c,GS na bam cNimeomba nafasi muhas, kcmc, bugando na udom MD Mara ya kwanza sijachaguliwa lakini cha ajabu nimeangalia remaining capacity ya vyuo lvo Kwa MD bado IPO isipokua muhimbili. Sasa nimeshindwa kuelewa nimekosea wapi. Msaada tafadhali