IYOMBO
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 381
- 218
Kama ratiba ya nec inavyo onesha leo ndio mwisho wa kurudisha fom kuanzia udiwani,ubunge na urais na tayari makanda(wagombea kupitia UKAWA) wameisha rudisha kwa baadhi ya maeneo na wengine wanarudisha leo lakini hadi hivi sasa sijasikia juu ya urudishwaji wa fom kwa mgombea wetu wa uraisi kupitia UKAWA hivyo mwenye kujua hili anijuze na aujuze umati wa watanzania.