Msaada mazingira ya Iringa na chuo cha Ruaha

Msaada mazingira ya Iringa na chuo cha Ruaha

mwanamilongo

Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
48
Reaction score
4
Ndugu wanaJf nimepangiwa chuo cha Ruaha na ningependa kujua mazingira kwa ujumla ya Iringa na chuo cha Ruaha pia napenda mnijuze mahusiano ya watu wa Iringa na jamii nyingine.pia chuo kiko vipi naningependa kujua baadhi ya changamoto ambazo zinapaitana huko na jinsi ya zinatatuliwa hususani za kimaisha
 
Nenda utajua huko huko cha kufanya,acha kuuliza maswali ka upo shule za msingi
 
Wahi room ishu sana pale chuo ila kiko poa sana, kama mzee wa kiti barid utafaid sana maeneo ya vibanda vya ccm
 
Nenda utajua huko huko cha kufanya,acha kuuliza maswali ka upo shule za msingi

Nafikiri cjauliza kwa ubaya ama kwa makosa km huwezi kutoa taarifa kipata kimya....ama umejibu ndio kusudi ujulikane nawe umejibu?
 
unaenda na koz gani? Na kuhusu maisha yapo poa kidogo ni ww tu na matumiz yako ya ela! Karibu rucu bhana na si ruco
 
Back
Top Bottom