BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
habari jf doctors
naombeni ushauri tafadhali.
Nasumbuliwa na maumivu makali ya tumbo upande wa kulia mpaka karibia na kitovu, vikiambatana na kichefuchefu na kukosa hamu ya kula.
Nikaenda Tumaini hosptl kucheki wakaniambia sina kidole tumbo, figo, maini vipo okey hakuna tatizo. Lakini maumivu yanaendelea. Na wamenipa painkiller tu.
Naombeni ushauri inaweza kuwa ni nini? Au kuna daktari gani ambaye amespecialize na tumbo nikamuone?
naombeni ushauri tafadhali.
Nasumbuliwa na maumivu makali ya tumbo upande wa kulia mpaka karibia na kitovu, vikiambatana na kichefuchefu na kukosa hamu ya kula.
Nikaenda Tumaini hosptl kucheki wakaniambia sina kidole tumbo, figo, maini vipo okey hakuna tatizo. Lakini maumivu yanaendelea. Na wamenipa painkiller tu.
Naombeni ushauri inaweza kuwa ni nini? Au kuna daktari gani ambaye amespecialize na tumbo nikamuone?