Msaada: Matiti yananiuma na kutoa maziwa mazito

Msaada: Matiti yananiuma na kutoa maziwa mazito

Kwa dalili hizo zinaonyesha unaweza ukawa na mimba na kama sio hivyo, basi angalia inaweza ukawa na saratani ya matiti, nenda kamuone daktari kwa msaada zaidi
Samahan mkuu,hata mim wife anatatizo kama hili la maziwa kuvuja lakin yey maziwa ni mepesi kwakuwa ana mimba ya miez kama mitano iv,
Sasa naomba kuuliza mimba ndiyo inapelekea hii hali na itafika muda itaacha yenyew au inakuaje maan anakosa raha..
 
Samahan mkuu,hata mim wife anatatizo kama hili la maziwa kuvuja lakin yey maziwa ni mepesi kwakuwa ana mimba ya miez kama mitano iv,
Sasa naomba kuuliza mimba ndiyo inapelekea hii hali na itafika muda itaacha yenyew au inakuaje maan anakosa raha..
Mimba ndio inapelekea hiyo hali.

Hayo ni maziwa ya mwanzo kabisa kitaalamu yanajulikana kama Colostrum. Huanza kutolewa baada ya mama kujifungua ila sometimes huweza kutoka katika miezi 7 au 8 ya ujauzito.
Hiyo ya miezi mitano naona ni mapema zaidi japo inaweza ikawa ni kawaida.

Unatakiwa ushukuru maana kuna wengine mpaka anajifungua maziwa hayatoki kabisa anaishia kumpa mtoto wake maziwa ya kopo.
 
Tutumie picha tufanye diagnosis vizuri.
 
Back
Top Bottom