Saraaah94
New Member
- Sep 26, 2017
- 4
- 2
Hello guys
Jamani nina shida jamani mama yangu anasumbuliwa na maumivu ya nyonga na miguu. X-ray inaonyesha kwamba mifupa ya nyonga imepekecha jamani imefika hatua now anashindwa kabisa kutembea huku amenyooka yaani anainama.
Kwa yeyote anayejua dawa jamani msaada
Jamani nina shida jamani mama yangu anasumbuliwa na maumivu ya nyonga na miguu. X-ray inaonyesha kwamba mifupa ya nyonga imepekecha jamani imefika hatua now anashindwa kabisa kutembea huku amenyooka yaani anainama.
Kwa yeyote anayejua dawa jamani msaada