hawa jamaa ni washenzi, siku za nyuma walikuwa na pakeji mbili za mpira premium (ile yenye SS3 ambayo ndo inaonyesha mechi nyingi kubwa) na compact. mara ya mwisho nakumbuka ilikuwa unalipa 120000 kwa premium na compact kwa 45000, hiyo compact ilikuwa unaweza kuona mechi kibao tu. saiv wameivunja premium na compact na kuzalisha compact plus ambayo kwa sasa wanachaji 77000.kwa sasa simshauli mpenda mpira kununua hiyo compact haina lolote.