Ahsante mkuu wakati naanzisha huu uzi nilikuwa sijasoma kitabu flani.
Nimegundua ng'ombe ana magonjwa mengi mno mno mengine hata binadamu anayapata na mengine yanategemea na eneo na utunzaji wako
Ahsante mkuu wakati naanzisha huu uzi nilikuwa sijasoma kitabu flani.
Nimegundua ng'ombe ana magonjwa mengi mno mno mengine hata binadamu anayapata na mengine yanategemea na eneo na utunzaji wako
Steven Nguma nimekutumia page ya pili ya kitabu.Nimeku pm halafu uende ofisi yeyote ya mifugo wanaweza kukupa maelezo kukipata.
Tungekuwa karibu ningekutolea photocopy kitabu kizima ni kizuri mno.kina kurasa 111