Msaada magari ya IT ya kwenda Mwanza usiku

Msaada magari ya IT ya kwenda Mwanza usiku

Nendo kibo ubungo hiyo panda mwendokasi shuka kibo utapata yakomengi
 
Vipi kuhusu usalama?. Unapanda gari la mtu humjui, halafu yeye ndio dereva na hujui amebeba nini wala anawaza nini...... Hata akifuta dashboard huwezi kumwambia chochote
Usalama wa kutosha mkuu bora upande IT kuliko gari lililo sajiliwa, Unajua kabisa huyu kaajiriwa kwa ajili yakufikisha gari na hawezi fanya issue nyengine yakipuuzi nishapanda sana hayo magari na cash money zakutosha kwenda mkoa kwa business issue.

Hao jamaa wanatembea hakuna anae maliza dashboard ila wanatembea na nidereva wazuri mno una uhuru wakumwambia chochote unapohisi hatari ya mwendo.
 
Back
Top Bottom