Msaada magari ya IT ya kwenda Mwanza usiku

Msaada magari ya IT ya kwenda Mwanza usiku

Hapo inabidi upande IT za Rwanda au Burundi, utashukia Tinde kisha utaunga Mwanza.
 
Hizo IT ndio magari gani mkuu?
Ni gari zinazosafirishwa kutoka bandarini kwenda kwa muhusika inaweza kuwa ndani ya nchi au nje ya nchi, ila nyingi zinakwenda nje ya nchi.
Siyo sheli, ni kituo Cha mafuta Cha kampuni ya oil com siyo kampuni ya shell.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu umenielewa nilichokiandika.? Tumezoea kuita vituo vya mafuta "sheli" na si kampuni.!
 
Vipi kuhusu usalama?. Unapanda gari la mtu humjui, halafu yeye ndio dereva na hujui amebeba nini wala anawaza nini...... Hata akifuta dashboard huwezi kumwambia chochote
 
Magari ya IT yanaenda Congo, Burundi, Zambia, Malawi, Rwanda ...hayapiti Mwanza
 
Back
Top Bottom