Habari zenu Wana JF,
Nina mdogo wangu (sio wa damu) anasumbuliwa na kinachodaiwa kuwa ni fangasi. Kwa maelezo yake ni kwamba Hali hiyo imekuwa ikimsumbua tangu akiwa mdogo.
Kwanza anapatwa na muwasho hasa maeneo ya shingoni na mikononi. Halafu unamtokea upele. Baada ya siku kadhaa upele hukauka na kuacha alama nyeusi.
Hali hii Mara nyingi humpata hasa akiwa mazingira yenye joto.
Wakati mwingine hata akioga mwili humuwasha Sana Sana tena Sana.
Ndugu zangu naomba mnipe msaada. Je, hao ni fangasi. Na Kama ni fangasi nitumie tiba gani kumsaidia? Na Kama sio fangasi, je, linawezakuwa tatizo gani?
Ametumia dawa za kupaka kwenye ngozi kwa kipindi kirefu, upele unaisha lakini baada ya muda unarudi tena Hali inayomfanya ngozi yake kuonekana kana ina magamba maeneo ya shingoni na mikononi.
Natanguliza shukrani.
Nina mdogo wangu (sio wa damu) anasumbuliwa na kinachodaiwa kuwa ni fangasi. Kwa maelezo yake ni kwamba Hali hiyo imekuwa ikimsumbua tangu akiwa mdogo.
Kwanza anapatwa na muwasho hasa maeneo ya shingoni na mikononi. Halafu unamtokea upele. Baada ya siku kadhaa upele hukauka na kuacha alama nyeusi.
Hali hii Mara nyingi humpata hasa akiwa mazingira yenye joto.
Wakati mwingine hata akioga mwili humuwasha Sana Sana tena Sana.
Ndugu zangu naomba mnipe msaada. Je, hao ni fangasi. Na Kama ni fangasi nitumie tiba gani kumsaidia? Na Kama sio fangasi, je, linawezakuwa tatizo gani?
Ametumia dawa za kupaka kwenye ngozi kwa kipindi kirefu, upele unaisha lakini baada ya muda unarudi tena Hali inayomfanya ngozi yake kuonekana kana ina magamba maeneo ya shingoni na mikononi.
Natanguliza shukrani.