Dawa kali hiyo ukipaka ndani ya dakika tano za mwanzo cha moto utakionaPole sana mkuu kama bado haujaenda hospital, tafuta sawa inaitwa whitefield ointment, kweny maduka ya dawa ipo, haiwezi kuzidi sh 2000
Utakuja kunishukuru
Paka tube ya Whitefield utapona mimi pia yalinikuta hayo ila ni kawaida kama unakaa sehemu za joto then unaoga na haupakaushi vizuri ila pata dawa ya fungus utaponaKama picha inavyoonekana hapo, nasumbuliwa na hayo mabaka kwenye kende hapo. Vinawasha hatari sio poa.
Msaada wenu dawa gani inafaa?
View attachment 1267366
Pumbu erosion hiyo mzee.
Hiyo dawa mzee pumbu lazima ziwake motoDawa kali hiyo ukipaka ndani ya dakika tano za mwanzo cha moto utakiona
Ilikuwa saa moja nanusu wakati narudi home sasa hivi navochangia niko home ndio nimefungua thread ila ushauri nenda hospital tu mkuu kamuoneshe Dokta wa ngozi pale Tegeta hospital ya mission ila ukimkuta Sisiter ndio Dokta muda utakao kwenda akikwambia uvue sijui itakuwajeumechangia vp sasaa
Fungus dume hao wahi HospitalKama picha inavyoonekana hapo, nasumbuliwa na hayo mabaka kwenye kende hapo. Vinawasha hatari sio poa.
Msaada wenu dawa gani inafaa?
View attachment 1267366
Au kwa jina la utani tunaita "pumbuje" Kwa sisi tuliosoma ifm alafu tukakaa kigamboni lazima upate pumbujePumbu Erosion,
Pumbu erosion hiyo.
Chukua vitamin b complex itapotea mara 1
Kama picha inavyoonekana hapo, nasumbuliwa na hayo mabaka kwenye kende hapo. Vinawasha hatari sio poa.
Msaada wenu dawa gani inafaa?
View attachment 1267366
Kama picha inavyoonekana hapo, nasumbuliwa na hayo mabaka kwenye kende hapo. Vinawasha hatari sio poa.
Msaada wenu dawa gani inafaa?
View attachment 1267366
Hiyo dawa mzee pumbu lazima ziwake moto