Ni kwa mkopo aama TCU? hizi code baada ya tu kuzipata usikimbilie kujaza form kwanza subiri kama dak10 or 15 ndo anza kujaza, ukifanya pupa itakataa then usubiri kwa 2hrs tena na ukiitia kabla pia itakataa tena keep calm.
mimi inaniandikia kuwa niangalie kwenye inbox ya email au nitatumiwa SMS kutoka nacte ambayo itakuwa na username pamoja na password lakini nimeangalia kote hawajanitumia username wala password