Duka gani hilo mkuu umeona kwa bei hiyo? Naitaka sana hiyo simu. G2 niliona inauzwa 720.Niliona inauzwa 750,000 LG G3. Ila me nashauri uende LG G4 mkuu maana G3 shape yake sijaipenda sana especially back buttons zake zilivyokaa.
LG G4 imechukua shape ya LG G2 zile buttons za nyuma.
liki saba na nusu unapata mpya dukani,hapa kwetu zanzibar,ila huko dar jaribu kuangalia but kuwa mkini na copyDuka gani hilo mkuu umeona kwa bei hiyo? Naitaka sana hiyo simu. G2 niliona inauzwa 720.
copy unaijuaje?mkuuu nimekutana na copy ya hiyooo LG G3... mmmhh hataree sanaa.. kuna ndugu yangu kapigwa kwa laki tatu... mwenyewe akajuaa ya dili ameletewaa... kuja kuichek fresh kumbe copy...... huweni makini wa jf....
ngoja ntaipiga pichaaa muione..
copy unaijuaje?
Duka gani hilo mkuu umeona kwa bei hiyo? Naitaka sana hiyo simu. G2 niliona inauzwa 720.
mkuuu nimekutana na copy ya hiyooo LG G3... mmmhh hataree sanaa.. kuna ndugu yangu kapigwa kwa laki tatu... mwenyewe akajuaa ya dili ameletewaa... kuja kuichek fresh kumbe copy...... huweni makini wa jf....
ngoja ntaipiga pichaaa muione..
ngoja nikuambie kitu mkuu...
unaweza ukaonana na mtu hapa jf.. labda anauza simu na wewe unataka kuinunua,,
mmmeonana unaanza kuikagua,, yawezekana yeye anajua ni copy bt kukuambia ni ishu,, or yeye aliponunua hakujua kama ni copy alipigwa bei so anataka arudishe atleast ile gharama yake..
binafsi naanza na camera..
kama lg g3
CAMERA yake ya nyuma ni 13 MP, 4160 x 3120 pixels, phase detection/
laser autofocus, optical image stabilization,
dual-LED (dual tone) + flash
jaribu kupiga picha mbili tatu..
sasa kama unaonana camera yake inakupa mashaka utakuwa ume note kitu tayari..
then Front camera ya LG G3 ni 2.1 Mp
usiache kujaribu kupiga picha hata nne or tano
Then binafsi huwa nacheck internal storage..
Lg G3 zipo aina mbili kuna moja ina
16 GB, with 2 GB RAM
na nyingine 32 GB, with 3 GB RAM
nenda setting>> then >> application manager anagalia used space na free space...
Pia Zima simu ( not turn off ) i mean kioo kiwe off.. Fake zinakuwa na grey colour while kioo kikiwa off..
mimi nayajua hayo mkuu...
Ila huyu jamaa Chief-Mkwawa ningeomba u
atupe mautundu zaidi..
ymollel na wewe nakuombaa hapa
Nimeipenda sana hii ya mwisho. Simu copy ukiwa umezima kioo hakiwi black. Very useful.
Pia G2 OG nyingi hazina Memory Card, ni models chache ndio zinazo I think version ya Korea sijui?
Vp kuhusu bei ya LG LTE??
ngoja nikuambie kitu mkuu...
unaweza ukaonana na mtu hapa jf.. labda anauza simu na wewe unataka kuinunua,,
mmmeonana unaanza kuikagua,, yawezekana yeye anajua ni copy bt kukuambia ni ishu,, or yeye aliponunua hakujua kama ni copy alipigwa bei so anataka arudishe atleast ile gharama yake..
binafsi naanza na camera..
kama lg g3
CAMERA yake ya nyuma ni 13 MP, 4160 x 3120 pixels, phase detection/
laser autofocus, optical image stabilization,
dual-LED (dual tone) + flash
jaribu kupiga picha mbili tatu..
sasa kama unaonana camera yake inakupa mashaka utakuwa ume note kitu tayari..
then Front camera ya LG G3 ni 2.1 Mp
usiache kujaribu kupiga picha hata nne or tano
Then binafsi huwa nacheck internal storage..
Lg G3 zipo aina mbili kuna moja ina
16 GB, with 2 GB RAM
na nyingine 32 GB, with 3 GB RAM
nenda setting>> then >> application manager anagalia used space na free space...
Pia Zima simu ( not turn off ) i mean kioo kiwe off.. Fake zinakuwa na grey colour while kioo kikiwa off..
mimi nayajua hayo mkuu...
Ila huyu jamaa Chief-Mkwawa ningeomba u
atupe mautundu zaidi..
ymollel na wewe nakuombaa hapa