Kwa nini uliflash? Ina maana Lg G2 haisapoti lollipop?wakuu mambo vip
juzi juzi nilikua nafanya update ya lg g2 ktoka kitkat kwenda android lolipop, nilifanya manualy kwa kutumia lg flash tool nikaflash kdz ya lolipop, ila baada ya flashing kumalza simu inaishia kwenye logo ya lg tu.nimejarbu kwenda kwenye download mode ila shida inakua haiwi detected kwenye pc, hapo ndio ninapo kwama,it seems like download mode imeingia dosari nayo,
mwenye idea nini kifanyike naomba msaada na mawazo yenu.
Thanks
Ok nimekupata sasa.ilikua in root acces hivyo sikuweza ku update though OTA ndio maana ilinilazimu ku update manually
Pole, nilisha wahi kukumbuka na tatizo kama hilo kwenye simu yangu xiaomi redmin 2,wakuu mambo vip
juzi juzi nilikua nafanya update ya lg g2 ktoka kitkat kwenda android lolipop, nilifanya manualy kwa kutumia lg flash tool nikaflash kdz ya lolipop, ila baada ya flashing kumalza simu inaishia kwenye logo ya lg tu.nimejarbu kwenda kwenye download mode ila shida inakua haiwi detected kwenye pc, hapo ndio ninapo kwama,it seems like download mode imeingia dosari nayo,
mwenye idea nini kifanyike naomba msaada na mawazo yenu.
Thanks
thanks ila drivers ndo zenyewe,ukiwasha simu ikiwa kwenye logo ya lg basi simu kwenye pc inaonekana. ila shida tu ukisha taka kuiweka kweny download mode ndio simu haitaki kuonekana..nahisi download mode nayo imeathiriwa.Pole, nilisha wahi kukumbuka na tatizo kama hilo kwenye simu yangu xiaomi redmin 2,
Tatizo lakuto kui ditect simu kwenye pc inawezekana hauna drivers sahihi zinazo endanda na simu yako, kwangu nilili solve kwaku weka driver sahihi,.
Tatizo lakugoma kuboot inawezekana rom unayo itumia sio sahihi.
Cheki hayo mambo nahisi utafanikiwa.
Uha uhakika kama unacho taka kukifanya ni compatible na simu yako?thanks ila drivers ndo zenyewe,ukiwasha simu ikiwa kwenye logo ya lg basi simu kwenye pc inaonekana. ila shida tu ukisha taka kuiweka kweny download mode ndio simu haitaki kuonekana..nahisi download mode nayo imeathiriwa.
poa poa kaka acha nikomae tuUha uhakika kama unacho taka kukifanya ni compatible na simu yako?
Mimi nimesha kumbana na hilo tatizo ila nlikuwa naweka rom tofauti japo niya kampuni moja ya simu na model moja ila version ilikuwa tofauti lakini nlivyo ipata yake ilikubali bila yakuni sumbua tena.
Usikate tamaa endelea kutafuta ufumbuzi net utafanikiwa.
adb ilikua on mkuuulieka adb on?
jaribu kuicomand na adb ifungue hio download mode.
pia unaweza push mafile kwa adb
pia kama alivyosema mdau hujachanganya rom? sometime rom ya d801 inaweza zingua kwa d802