Hiyo husababiswa na virus ambao wanabadilisha registry, sasa chakufanya nitaatach file ambalo utaliextract kisha run kila kifile kilichondani yake... kama utafanikiwa useme na pia kama utafail useme ili nikusaidie zaidinaomba mnisaidie wana jf laptop yangu inafungua program zote kwa word pad,please naomba msaada wenu kwa hili.inatumia window 7 home basic
Asante sana mkuu nimemaliza na nimefanikiwa,Thanks againHiyo husababiswa na virus ambao wanabadilisha registry, sasa chakufanya nitaatach file ambalo utaliextract kisha run kila kifile kilichondani yake... kama utafanikiwa useme na pia kama utafail useme ili nikusaidie zaidi
https://dl.dropbox.com/u/47895855/All_Default_File_Extentions.zip
Ukimaliza uniambie ili nilifute ilo folder
AAisee naomb msaada pc yangu file zote zinafunguliwa na mozilla firefoxHiyo husababiswa na virus ambao wanabadilisha registry, sasa chakufanya nitaatach file ambalo utaliextract kisha run kila kifile kilichondani yake... kama utafanikiwa useme na pia kama utafail useme ili nikusaidie zaidi
https://dl.dropbox.com/u/47895855/All_Default_File_Extentions.zip
Ukimaliza uniambie ili nilifute ilo folder