Msaada, laptop kugoma kuzimika

Msaada, laptop kugoma kuzimika

Mliga

Senior Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
101
Reaction score
16
wakuu naomba msaada wa kulitatua tatizo hili la laptop yangu kugoma kuzima. Kila nikitaka kuzima niki cick shutdown haijibu chochote had nizime kwa kutumia start buton. Na ikiwaka unakuja ujumbe wa cancell or force to shut down; natumia window7. Natanguliza shukran kwenu.
 
Toa temporary files zote na kusafisha registry kwa kutumia ka tool kanaitwa ccleaner.
 
Windows imefungwa lini mara ya mwisho? Kama si siku nyingi tangu ifungwe basi tafuta advanced system care kwenye Google na ui-run kwenye expert mode
 
Windows imefungwa lini mara ya mwisho? Kama si siku nyingi tangu ifungwe basi tafuta advanced system care kwenye Google na ui-run kwenye expert mode

nashkuru wakuu kwa ushaur wenu. Hatimaye nimefanikiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom