N ntenga90 Member Jul 8, 2020 10 3 Sep 9, 2020 #1 Natumia simu ya 4G ya vodacom ila ukiweka lain nyingine inagoma kusapoti inahitaji code kwa anayeweza nisaidia hili tatizo
Natumia simu ya 4G ya vodacom ila ukiweka lain nyingine inagoma kusapoti inahitaji code kwa anayeweza nisaidia hili tatizo
mkorinto JF-Expert Member Jun 11, 2014 30,665 37,212 Sep 9, 2020 #2 hiyo simu imefungiwa mitandao mingine, ni zile simu za promotion.
ymollel JF-Expert Member Aug 23, 2012 3,096 2,273 Sep 9, 2020 #3 ntenga90 said: Natumia simu ya 4G ya vodacom ila ukiweka lain nyingine inagoma kusapoti inahitaji code kwa anayeweza nisaidia hili tatizo Click to expand... Hiyo simu inahitaji unlock code. Check na jamaa wanaojiita streetwinner wako facebook. Watakuuzia unlock code kwa 5000
ntenga90 said: Natumia simu ya 4G ya vodacom ila ukiweka lain nyingine inagoma kusapoti inahitaji code kwa anayeweza nisaidia hili tatizo Click to expand... Hiyo simu inahitaji unlock code. Check na jamaa wanaojiita streetwinner wako facebook. Watakuuzia unlock code kwa 5000