Msaada laini ya 4G inagoma inahitaji niweke codes

ntenga90

Member
Jul 8, 2020
10
3
Natumia simu ya 4G ya vodacom ila ukiweka lain nyingine inagoma kusapoti inahitaji code kwa anayeweza nisaidia hili tatizo
 
hiyo simu imefungiwa mitandao mingine, ni zile simu za promotion.
 
Natumia simu ya 4G ya vodacom ila ukiweka lain nyingine inagoma kusapoti inahitaji code kwa anayeweza nisaidia hili tatizo
Hiyo simu inahitaji unlock code. Check na jamaa wanaojiita streetwinner wako facebook. Watakuuzia unlock code kwa 5000
 
Back
Top Bottom