keitowangu
Member
- Dec 2, 2014
- 12
- 0
- Thread starter
- #21
Niliwahi kuongea naye akanijibu kuwa kikwazo kikubwa kwake ni mtoto, kila akimfikiria mtoto ananyong'onyea. ila mda umepita kidogo kama miezi minne(4) yote hatujangonoka, siku chache zimepita ndo tumefanya nimejisikia kwakuwa nimefeel uwepo wake eneo hilo ila sijafika kileleni coz dudu yake haikusimama kisawasawa