Msaada kwenye tuta wadau

Tamu chungu

Member
Dec 20, 2015
85
64
Habari zenu wadau,naomba mwenye zile form za bodi ya mikopo za kujaza kwa mkono naomba anisaidie mana nimeangalia kwenye website yao sijaziona.

Asanteni
 
Mhhh, unaelewa kweli wewe utaratibu?
Unajaza online kwanza baada ya kufungua account ikishakamilika ndio unaiprint then ndio hatua za kusaini (kujaza kwa mkono zinafuata).
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom