stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,841
- 22,958
Hili ndio jibu la matatizo yako mkuu...Ila kama bado unakipenda jaribu kununua engen complete na gearbox yake.
Hili ndio jibu la matatizo yako mkuu...Ila kama bado unakipenda jaribu kununua engen complete na gearbox yake.
Imekinunua kwa bei ngapi mkuu?mambo vip wadau,
siku mbiki tatu nyuma nmenunua kipaso piston 4 cha 1290CC, kilikuwa kinashda ya kubadili gear but ukiweka reverse kinashtuka na kurud nyuma
1,nikampelekea fund wa kwanza kuna sample chini ya gear box akaitoa na kuweka mpya ikawa bado japo inabadili gear ukiiendeshea kwa manua yani unaanza L unafata 2 then D
2,fundi wa pili nae akatoa vitu kwenye gear box akaweka baadhi ya ring mpya but still the same ugonjwa uko vle vile
3.huyu watatu nae vile vile japo kwa sasa ili inadili gear inabid ukanyage moto mpka mwho kwa dakika 2 nzima ndo itachnge zaid ya hapo haichange
inshort kila kitu kwenye gear box nmeweka kipya na waliipeleka kwenye diagnosis mashine ikasoma hakuna shda jpo now gari imeanza na kutoa moshi mweusi shda inaweza kuwa nin wakuu
msaada
mwenge dar es salaam..karibu na CHUO CHA KILIMANJARO.. au mwenge msikitini 0717228064unapatikana wapi?
Mkuu habari.nimefunga leo gear box mpya na yenyewe pia inachelewa kupokea japo syo sana kama ile ya mwnzo mpka nkanyage moto kidogo ndo inabadilk but ili kumaliza inabidi nikanyage mpka mwsho kabisa nahisi kuna kitu natakiwa nifanye sema sijakijua
ilala ziko nyingi zinaanzia 300k mpaka 350kMkuu habari.
Gearbox ya Passo ulinunua shingapi na wapi.
Asante ngoja niende sasa hivi.
anaibeba vizuri tu ni piston ngap?Asante ngoja niende sasa hivi.
Sijui bodaboda ataweza kuibeba toka ILALA mpaka Sinza
0715 180 303 mpigie huyo anauza ilalaAsante ngoja niende sasa hivi.
Sijui bodaboda ataweza kuibeba toka ILALA mpaka Sinza
Piston nne Mkuu.
kuwa makini wasikuuzie tu ya piston 3 maana ndo tabia yaoPiston nne Mkuu.
Magari ya kufungua fungua kila wakati kama zipu ya jeans huwa yanatabia ya kufilisi sana wamiliki wake.Ushauri wako haufai.
Tatizo dogo tu kama hilo limfanye aingie gharama kuubwa za kununua Engine + Gearbox?
KWAHIYO BORA VITS YA 990cc KULIKO PASSO YA 990CCPasso ni majanga
Vitz ni unyama sanaKWAHIYO BORA VITS YA 990cc KULIKO PASSO YA 990CC
Kweli inaweza kuwa tatizo ni umeme,na controll box unaijuaje kama ina shda?
Ni kitambo sana ila nilimpelekea fundi akanibadilishia oxygen sensor gari ikawa mpyaKweli inaweza kuwa tatizo ni umeme,
Mimi fundi ameshawahi kuninunulishs gear box , kumbe tatizo lilikuwa ni umeme tu.