Nina miaka 33,nimeoa ndoa ya kikristo miaka 5 ilopita,na nina watoto 2. Nashindwa kujua tatizo langu ni nini,mke wangu ni mrembo wa sura,ananipenda na namwamini kuwa hana mtu nje,lkn kwa kweli mnimekuwa mtu wa tamaa sana kwa warembo wa nje kiasi kwamba naahisi kama nina pepo hivi. Swali hasa kwa wanaume waliooa,(wenye uzoefu ndoani)hivi hii ni kwangu tu au nao walipita stage hii? Na je nawezaje kutocheat? Na je wanaume walioko ndoani (km mm) wanaweza kuwa na mke wa ndoa tuuu? bse mimi naona mtihani kwelikweli na kama mtu ataona binti ninayetoka naye nje ya ndoa atashangaaa,labda ataona bse of her master's degree... (Kama hujisikii kuchangia just leave it,sio unze ku-provoke hapa)
Kama ni mkristo kanuni zinasema hivi ( USITAMANI MWANAMKE ASIYE MKE WAKO), (USIZINI) plz yashike haya na kuyafuat hutashinda usikubali hisia zikutawale hata kidogo.
Nina miaka 33,nimeoa ndoa ya kikristo miaka 5 ilopita,na nina watoto 2. Nashindwa kujua tatizo langu ni nini,mke wangu ni mrembo wa sura,ananipenda na namwamini kuwa hana mtu nje,lkn kwa kweli mnimekuwa mtu wa tamaa sana kwa warembo wa nje kiasi kwamba naahisi kama nina pepo hivi. Swali hasa kwa wanaume waliooa,(wenye uzoefu ndoani)hivi hii ni kwangu tu au nao walipita stage hii? Na je nawezaje kutocheat? Na je wanaume walioko ndoani (km mm) wanaweza kuwa na mke wa ndoa tuuu? bse mimi naona mtihani kwelikweli na kama mtu ataona binti ninayetoka naye nje ya ndoa atashangaaa,labda ataona bse of her master's degree... (Kama hujisikii kuchangia just leave it,sio unze ku-provoke hapa)
Nina miaka 33,nimeoa ndoa ya kikristo miaka 5 ilopita,na nina watoto 2. Nashindwa kujua tatizo langu ni nini,mke wangu ni mrembo wa sura,ananipenda na namwamini kuwa hana mtu nje,lkn kwa kweli mnimekuwa mtu wa tamaa sana kwa warembo wa nje kiasi kwamba naahisi kama nina pepo hivi. Swali hasa kwa wanaume waliooa,(wenye uzoefu ndoani)hivi hii ni kwangu tu au nao walipita stage hii? Na je nawezaje kutocheat? Na je wanaume walioko ndoani (km mm) wanaweza kuwa na mke wa ndoa tuuu? bse mimi naona mtihani kwelikweli na kama mtu ataona binti ninayetoka naye nje ya ndoa atashangaaa,labda ataona bse of her master's degree... (Kama hujisikii kuchangia just leave it,sio unze ku-provoke hapa)
Nina miaka 33,nimeoa ndoa ya kikristo miaka 5 ilopita,na nina watoto 2. Nashindwa kujua tatizo langu ni nini,mke wangu ni mrembo wa sura,ananipenda na namwamini kuwa hana mtu nje,lkn kwa kweli mnimekuwa mtu wa tamaa sana kwa warembo wa nje kiasi kwamba naahisi kama nina pepo hivi. Swali hasa kwa wanaume waliooa,(wenye uzoefu ndoani)hivi hii ni kwangu tu au nao walipita stage hii? Na je nawezaje kutocheat? Na je wanaume walioko ndoani (km mm) wanaweza kuwa na mke wa ndoa tuuu? bse mimi naona mtihani kwelikweli na kama mtu ataona binti ninayetoka naye nje ya ndoa atashangaaa,labda ataona bse of her master's degree...
Unapoamua kuoa ni vema kujifunza kukubaliana na chaguo lako! Yaani mkeo! Kinachokusumbua sasa ni tamaa inayochochewa na kukinai Kua na mtu mmoja muda wote!! Ukitaka kulinda ndoa yako na malezi mazuri ya hao watoto wako wawili huna budi kufukuza hio tamaa na Kujipa muda wa kuikataa Kinai yako! Nitakupa tips! Weka taratibu za kufanya mapenzi na mkeo walau Mara moja au mbili kwa wiki!! Kama ulizoea Mara kwa Mara hio itarudisha ham nae, Baada ya zoezi hilo jipe kiji safari walau wiki mbili bila kumuona mkeo ili upate wasaa wa kumkumbuka na wakati huo ukiondoa tamaa zote za wewe kucheat!!kwani ukija kucheat ndani ya ndoa hio dhambi itakurudia na itakucost!!
TheDealer, mimi hapo naona tu more reasons not to get married...yaani, Bado nipo nipo sana!!!