selestin john
Member
- Jan 20, 2012
- 67
- 8
computer yangu ukiwasha inaandika primary and secondary hard drive not found.nimejaribu kubadirisha hard disk hadi na nyaya zake lakini bado inaandika hivyo hivyo.msaada wenu wakuu
computer yangu ukiwasha inaandika primary and secondary hard drive not found.nimejaribu kubadirisha hard disk hadi na nyaya zake lakini bado inaandika hivyo hivyo.msaada wenu wakuu
jaribu kuangalia jumper setting ktk hard disk yako hakikisha jamper setting ya hard disk iko ktk master na cd room iko ktk slave zote zikiwa ktk master window haita zitambua
another thing u can do nenda kwenye bios setting kisha angalia kama hardisk umeziactivate zionekane?
soma nyuma ya hard drives zako huwa kuna map inayo onyesha jamper position on every brand of HD.
computer yangu ukiwasha inaandika primary and secondary hard drive not found.nimejaribu kubadirisha hard disk hadi na nyaya zake lakini bado inaandika hivyo hivyo.msaada wenu wakuu
okey kuna kama kiplastik kipo katikati ya vichuma viwili na kipo kwenye usawa wa neno master