msaada kwenye android

msaada kwenye android

ngosha01

Member
Joined
Nov 9, 2013
Posts
41
Reaction score
11
nina Tablet ya kichina.android v4.Imejilock password na nikijaribu kufungua haitaki.nimejaribu hard reset zote aitaki.je kuna njia ya kuiformat na kuinstall android os mpya.au kuna njia ya kufanya factory reset kwa computer.
 
Haina model number? Kuna baadhi pia upande wa nyuma kuna katundu kadogo kameandikwa RESET ambapo ukiingiza pin ita restart na kurudi ktk hali yake ya mwanzo uliponunua


Sent from my nokia 3310 using JamiiForums
 
ina katundu ka mic tu.modell namba yake haijaandikwa nje ipo kwa ndani nimeishau ila inaanza na q.nje imeandikwa mini ipad 32gb
 
Ku Reset Kwa Njia ipi umejaribu.... na kuingiza Gmail jeeeeeeee???????????
 
niliwahi letewa moja hivyo hivyo. hizi tablet za kichina nyingi haziji na recovery wala download mode hivyo usahau kuingia recovery na kuwipe wala kuingia download mode na Odin.

kuna software nyingi za kichina ila kama jina lilivyo zinakuja kwa lugha ya kichina ila maarufu iliyo kwa lugha ya kingereza ni live suit.

China Gadgets Reviews: Download LiveSuit Pack v1.11

test njia hio ikikushinda peleka kwa fundi
 
Ku Reset Kwa Njia ipi umejaribu.... na kuingiza Gmail jeeeeeeee???????????

inaomba password tu.haina sehemu ya gmail.nimejaribu kuhold key za volume na kuturn on lakini haiingii kwenye recovery ode.sina option nyingine sababu ikiwaka inaleta sehemu ya kuandika password
 
inaomba password tu.haina sehemu ya gmail.nimejaribu kuhold key za volume na kuturn on lakini haiingii kwenye recovery ode.sina option nyingine sababu ikiwaka inaleta sehemu ya kuandika password
So Si ungeingiza Pasword za Gmail.... Hii njia n safe na inafanya kazi sema huwa tunaweka pasword wakat hamna data connection... pale data connection n lazma iwepo... pia usi crem kua recover n kwa button ya sauti tuu ... kama tablet zna button ya Camera au home button kama ya kwenye samsung huwa inatumika ile pale... se4ma sometimes ndo unakutana na recovery mode katika lugha ya Kichina... hapo ndo inakua tatizoooo... I hate Guazhou Products kiukweli... japo they ar cheap
 
So Si ungeingiza Pasword za Gmail.... Hii njia n safe na inafanya kazi sema huwa tunaweka pasword wakat hamna data connection... pale data connection n lazma iwepo... pia usi crem kua recover n kwa button ya sauti tuu ... kama tablet zna button ya Camera au home button kama ya kwenye samsung huwa inatumika ile pale... se4ma sometimes ndo unakutana na recovery mode katika lugha ya Kichina... hapo ndo inakua tatizoooo... I hate Guazhou Products kiukweli... japo they ar cheap

utawekaje gmail account wakati inataka password?nyingi zinaomba gmail account kama umeattempt kuunlock pattern mara nyingi.ila hii haijaomba gmail account kwa sababu imefungwa. kwa password na sio na kariri ina buton tatu.ya kuwasha na kuzima na ya kuongeza sauti na kupunguza.so zio zote zina hizo button unazojua wewe asante.
 
Back
Top Bottom