Msaada kwa Wassira - Wajibu wa BMK

Msaada kwa Wassira - Wajibu wa BMK

Richard Mlangi

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2012
Posts
380
Reaction score
194
Natoa msaada wa Ushauri kwa Mh Steven Wassira.

Hakuna chombo hapa Duniani chenye uwezo wa kupingana na maoni ya wananchi !

Mradi iliundwa tume kisheria nayo imetumia fedha na muda mwingi kukusanya maoni ya wananchi basi maoni hayo lazima yazingatiwe.

Kazi ya BMK ni kuangalia namna bora zaidi ya kutekeleza maoni ya wananchi ya serikali tatu na sio kuyapinga au kuja na rasimu nyingine.

SIO Kweli kwamba BMK lina uwezo wa kuyakataa maoni ya wananchi kama anavyohubiri Wassira mara kwa mara !
 
Msikilize malaya mwingine wa ccm yupo star tv live anabwabwaja
 
Natoa msaada wa Ushauri kwa Mh Steven Wassira.

Hakuna chombo hapa Duniani chenye uwezo wa kupingana na maoni ya wananchi !

Mradi iliundwa tume kisheria nayo imetumia fedha na muda mwingi kukusanya maoni ya wananchi basi maoni hayo lazima yazingatiwe.

Kazi ya BMK ni kuangalia namna bora zaidi ya kutekeleza maoni ya wananchi ya serikali tatu na sio kuyapinga au kuja na rasimu nyingine.

SIO Kweli kwamba BMK lina uwezo wa kuyakataa maoni ya wananchi kama anavyohubiri Wassira mara kwa mara !

Natamani ushauri huu umfikie JK ambaye alionyesha nia tangu awali ila akapotoshwa na kundi la wanaotanguliza maslahi ya chama badala ya taifa !
 
Msikilize malaya mwingine wa ccm yupo star tv live anabwabwaja

Bahati nzuri ni kuwa leo kulikuwa na mdahalo ambapo imeelezwa vyema kuhusu takwimu na gharama za s3 na hivyo kufuta upotoshaji wote !
 
Bahati nzuri ni kuwa leo kulikuwa na mdahalo ambapo imeelezwa vyema kuhusu takwimu na gharama za s3 na hivyo kufuta upotoshaji wote !

Na hakuna mtu timamu anayeweza kupingana na maoni yetu wananchi !
 
Back
Top Bottom