Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
...
Habari wana JF
Kuna sehemu nilienda kufanya interview baada ya barua na cv zangu kukubaliwa.Sasa baada ya kumaliza interview yule Manager wa ile kampuni akaniambia atanitafuta kwa kunipigia simu kwa namba zangu alikuwa nazo then akaniambia ''TAKE CARE''
Cha ajabu hajanitafuta leo ni wiki ya tatu. Swali langu ni hivi hilo neno aliloniambia hapo juu ''take care'' ndio kwamba nijiongeze kwamba hana uhitaji wangu?? na je huwa linatumikaga kwenye interview kufikisha ujumbe kwamba kama hawakuitaji?
Naombeni ushauri wenu jamani nimechoka kusubiri promise ambazo sina uhakika nazo.
Mbona neno take care ni neno la kawaida tu,kwani unapoagana na mtu ukimwambia take care is it a big deal?Mojawapo ya maana ya neno hilo ni "Good-bye and keep yourself healthy " so tatizo ni wewe unavyolichukulia neno hilo halina mahusiano na interview.Issue hapa ni uelewa wa jinsi hilo neno linavyotumika.Neno hli hutumiwa katika kuhitimisha mazungumzo so take it easy.Habari wana JF
Kuna sehemu nilienda kufanya interview baada ya barua na cv zangu kukubaliwa.Sasa baada ya kumaliza interview yule Manager wa ile kampuni akaniambia atanitafuta kwa kunipigia simu kwa namba zangu alikuwa nazo then akaniambia ''TAKE CARE''
Cha ajabu hajanitafuta leo ni wiki ya tatu. Swali langu ni hivi hilo neno aliloniambia hapo juu ''take care'' ndio kwamba nijiongeze kwamba hana uhitaji wangu?? na je huwa linatumikaga kwenye interview kufikisha ujumbe kwamba kama hawakuitaji?
Naombeni ushauri wenu jamani nimechoka kusubiri promise ambazo sina uhakika nazo.
Kama walikuambia watakupigia na hawajakupigia unahaki ya kufuatilia ujue kinachoendelea,labda huku qualify for the next stage na wanaogopa kukupigia kukupa "bad news".All in all ni haki yako kufuatilia ujue nini kinaendelea kuhusu hiyo kazi uliyokuwa interviewed.Tatizo job seeker wengi badala ya kufuatilia kwenye makampuni husika mnafuatilia JF.Interview ni majanga. WanaJF na ile umemaliza oral interview wanakwambia we will call you after 3week na hawajafanya hivyo week 6 Sasa inamaana Ndiyo basi tena.
Endapo utakizi vigezo na masharti atakupigia,take care. KizzywizzyHabari wana JF
Kuna sehemu nilienda kufanya interview baada ya barua na cv zangu kukubaliwa.Sasa baada ya kumaliza interview yule Manager wa ile kampuni akaniambia atanitafuta kwa kunipigia simu kwa namba zangu alikuwa nazo then akaniambia ''TAKE CARE''
Cha ajabu hajanitafuta leo ni wiki ya tatu. Swali langu ni hivi hilo neno aliloniambia hapo juu ''take care'' ndio kwamba nijiongeze kwamba hana uhitaji wangu?? na je huwa linatumikaga kwenye interview kufikisha ujumbe kwamba kama hawakuitaji?
Naombeni ushauri wenu jamani nimechoka kusubiri promise ambazo sina uhakika nazo.